Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sasa hapakuwa na maji kwa ajili ya kusanyiko hilo,+ nao wakaanza kukutanika pamoja dhidi ya Musa na Haruni.+

  • Hesabu 27:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 kwa sababu ninyi mliasi agizo langu katika nyika ya Zini kusanyiko lilipogombana,+ juu ya kunitakasa+ kando ya maji mbele ya macho yao. Hayo ndiyo maji ya Meriba+ huko Kadeshi+ katika nyika ya Zini.”+

  • Kumbukumbu la Torati 32:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Kwa sababu ninyi mlitenda isivyofaa kunielekea mimi+ katikati ya wana wa Israeli kwenye maji ya Meriba+ ya Kadeshi katika nyika ya Zini; kwa sababu ninyi hamkunitakasa mimi katikati ya wana wa Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki