Hesabu 16:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Na ikawa kwamba kusanyiko lilipokuwa limekutanika dhidi ya Musa na Haruni, ndipo walipogeuka kulielekea hema la mkutano; na, tazama! wingu likalifunika, nao utukufu wa Yehova ukaanza kutokea.+
42 Na ikawa kwamba kusanyiko lilipokuwa limekutanika dhidi ya Musa na Haruni, ndipo walipogeuka kulielekea hema la mkutano; na, tazama! wingu likalifunika, nao utukufu wa Yehova ukaanza kutokea.+