Kutoka 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na asubuhi kwa kweli mtauona utukufu wa Yehova,+ kwa sababu amesikia manung’uniko yenu juu ya Yehova. Na sisi ni nani hivi kwamba mnung’unike juu yetu?” Hesabu 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, kusanyiko lote likasema wapigwe kwa mawe.+ Na utukufu wa Yehova ukaonekana juu ya hema la mkutano machoni pa wana wote wa Israeli.+ Hesabu 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kora alipokuwa amekusanya kusanyiko+ lote pamoja dhidi yao kwenye mwingilio wa hema la mkutano, ndipo utukufu wa Yehova ukalitokea kusanyiko+ lote.
7 Na asubuhi kwa kweli mtauona utukufu wa Yehova,+ kwa sababu amesikia manung’uniko yenu juu ya Yehova. Na sisi ni nani hivi kwamba mnung’unike juu yetu?”
10 Hata hivyo, kusanyiko lote likasema wapigwe kwa mawe.+ Na utukufu wa Yehova ukaonekana juu ya hema la mkutano machoni pa wana wote wa Israeli.+
19 Kora alipokuwa amekusanya kusanyiko+ lote pamoja dhidi yao kwenye mwingilio wa hema la mkutano, ndipo utukufu wa Yehova ukalitokea kusanyiko+ lote.