Kutoka 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 nao wakamwona Mungu wa Israeli.+ Na chini ya miguu yake palikuwa na kitu kilichofanana na mawe bapa ya yakuti na kama mbingu kwa kutakata.+ Mambo ya Walawi 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye Musa akasema: “Hili ndilo jambo ambalo Yehova amewaamuru mfanye, ili utukufu wa Yehova uwatokee ninyi.”+ Hesabu 16:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Na ikawa kwamba kusanyiko lilipokuwa limekutanika dhidi ya Musa na Haruni, ndipo walipogeuka kulielekea hema la mkutano; na, tazama! wingu likalifunika, nao utukufu wa Yehova ukaanza kutokea.+ Yohana 11:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Yesu akamwambia: “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”+
10 nao wakamwona Mungu wa Israeli.+ Na chini ya miguu yake palikuwa na kitu kilichofanana na mawe bapa ya yakuti na kama mbingu kwa kutakata.+
6 Naye Musa akasema: “Hili ndilo jambo ambalo Yehova amewaamuru mfanye, ili utukufu wa Yehova uwatokee ninyi.”+
42 Na ikawa kwamba kusanyiko lilipokuwa limekutanika dhidi ya Musa na Haruni, ndipo walipogeuka kulielekea hema la mkutano; na, tazama! wingu likalifunika, nao utukufu wa Yehova ukaanza kutokea.+