Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 nao wakamwona Mungu wa Israeli.+ Na chini ya miguu yake palikuwa na kitu kilichofanana na mawe bapa ya yakuti na kama mbingu kwa kutakata.+

  • Mambo ya Walawi 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye Musa akasema: “Hili ndilo jambo ambalo Yehova amewaamuru mfanye, ili utukufu wa Yehova uwatokee ninyi.”+

  • Hesabu 16:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na ikawa kwamba kusanyiko lilipokuwa limekutanika dhidi ya Musa na Haruni, ndipo walipogeuka kulielekea hema la mkutano; na, tazama! wingu likalifunika, nao utukufu wa Yehova ukaanza kutokea.+

  • Yohana 11:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Yesu akamwambia: “Je, sikukuambia kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki