Kutoka 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye hakuunyoosha mkono wake juu ya wale wanaume mashuhuri kati ya wana wa Israeli,+ bali walipata maono ya Mungu wa kweli,+ wakala na kunywa.+ Isaya 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+ Yohana 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+
11 Naye hakuunyoosha mkono wake juu ya wale wanaume mashuhuri kati ya wana wa Israeli,+ bali walipata maono ya Mungu wa kweli,+ wakala na kunywa.+
6 Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+
18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+