Kutoka 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akaongezea: “Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na bado aishi.”+ Kumbukumbu la Torati 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye Yehova akaanza kusema nanyi kutoka katikati ya moto.+ Sauti ya maneno ndiyo mliyokuwa mkiisikia, bali hamkuwa mkiona umbo+ lolote—mlisikia sauti tu.+ Kumbukumbu la Torati 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Nanyi mjiangalie vema nafsi zenu,+ kwa sababu hamkuona umbo+ lolote katika siku ambayo Yehova alisema nanyi katika Horebu kutoka katikati ya moto, Yohana 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+ Yohana 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mungu ni Roho,+ na wale wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa roho na kweli.”+
20 Naye akaongezea: “Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na bado aishi.”+
12 Naye Yehova akaanza kusema nanyi kutoka katikati ya moto.+ Sauti ya maneno ndiyo mliyokuwa mkiisikia, bali hamkuwa mkiona umbo+ lolote—mlisikia sauti tu.+
15 “Nanyi mjiangalie vema nafsi zenu,+ kwa sababu hamkuona umbo+ lolote katika siku ambayo Yehova alisema nanyi katika Horebu kutoka katikati ya moto,
18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+