Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye akaongezea: “Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na bado aishi.”+

  • Kumbukumbu la Torati 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Yehova akaanza kusema nanyi kutoka katikati ya moto.+ Sauti ya maneno ndiyo mliyokuwa mkiisikia, bali hamkuwa mkiona umbo+ lolote—mlisikia sauti tu.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Nanyi mjiangalie vema nafsi zenu,+ kwa sababu hamkuona umbo+ lolote katika siku ambayo Yehova alisema nanyi katika Horebu kutoka katikati ya moto,

  • Yohana 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa-pekee+ aliye kifuani+ pa Baba, ndiye ambaye ameeleza juu yake.+

  • Yohana 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mungu ni Roho,+ na wale wanaomwabudu lazima wamwabudu kwa roho na kweli.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki