Kutoka 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akaongezea: “Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na bado aishi.”+ Yohana 6:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Si kwamba mwanadamu yeyote amemwona Baba,+ ila yule aliyetoka kwa Mungu; huyo amemwona Baba.+ 1 Yohana 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hakuna yeyote ambaye amemwona Mungu wakati wowote.+ Tukiendelea kupendana, Mungu hukaa ndani yetu na upendo wake unakamilishwa ndani yetu.+
20 Naye akaongezea: “Huwezi kuuona uso wangu, kwa sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuniona na bado aishi.”+
12 Hakuna yeyote ambaye amemwona Mungu wakati wowote.+ Tukiendelea kupendana, Mungu hukaa ndani yetu na upendo wake unakamilishwa ndani yetu.+