Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Baada ya hayo Yakobo akachinja dhabihu katika huo mlima na kuwaalika ndugu zake wale mkate.+ Basi wakala mkate na kukaa usiku huo mlimani.

  • Kutoka 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha Yethro, baba-mkwe wa Musa, akachukua toleo la kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya Mungu;+ naye Haruni na wanaume wote wazee wa Israeli wakaja kula mkate pamoja na baba-mkwe wa Musa, mbele za Mungu wa kweli.+

  • 1 Wakorintho 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tazameni kile ambacho ni Israeli kwa njia ya kimwili:+ Je, wale wanaokula dhabihu si washiriki pamoja na madhabahu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki