Mwanzo 31:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Baada ya hayo Yakobo akachinja dhabihu katika huo mlima na kuwaalika ndugu zake wale mkate.+ Basi wakala mkate na kukaa usiku huo mlimani. Kutoka 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha Yethro, baba-mkwe wa Musa, akachukua toleo la kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya Mungu;+ naye Haruni na wanaume wote wazee wa Israeli wakaja kula mkate pamoja na baba-mkwe wa Musa, mbele za Mungu wa kweli.+ 1 Wakorintho 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tazameni kile ambacho ni Israeli kwa njia ya kimwili:+ Je, wale wanaokula dhabihu si washiriki pamoja na madhabahu?+
54 Baada ya hayo Yakobo akachinja dhabihu katika huo mlima na kuwaalika ndugu zake wale mkate.+ Basi wakala mkate na kukaa usiku huo mlimani.
12 Kisha Yethro, baba-mkwe wa Musa, akachukua toleo la kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya Mungu;+ naye Haruni na wanaume wote wazee wa Israeli wakaja kula mkate pamoja na baba-mkwe wa Musa, mbele za Mungu wa kweli.+
18 Tazameni kile ambacho ni Israeli kwa njia ya kimwili:+ Je, wale wanaokula dhabihu si washiriki pamoja na madhabahu?+