Kutoka 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Musa peke yake atamkaribia Yehova; lakini wao wasikaribie, wala watu wasipande kwenda pamoja naye.”+ Hesabu 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+
2 Naye Musa peke yake atamkaribia Yehova; lakini wao wasikaribie, wala watu wasipande kwenda pamoja naye.”+
28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+