Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na mkuu wa wakuu wa wana wa Lawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, aliyekuwa mwangalizi wa wale waliokuwa wakitimiza wajibu wa mahali patakatifu.

  • Hesabu 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nawe umvue Haruni mavazi yake,+ nawe utamvika Eleazari+ mwana wake mavazi hayo; naye Haruni atakusanywa, naye atakufa huko.”+

  • Yoshua 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi hili ndilo fungu la urithi ambalo wana wa Israeli walichukua katika nchi ya Kanaani,+ ambalo Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya baba za makabila ya wana wa Israeli waliwapa kuwa urithi.+

  • Yoshua 19:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Huo ndio uliokuwa urithi ambao Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya upande wa baba vya makabila ya wana wa Israeli waligawanya+ kuwa miliki kwa njia ya kura katika Shilo+ mbele za Yehova, kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+ Basi wakaacha kuigawanya nchi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki