Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Na uangalizi+ wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani utakuwa juu ya mafuta+ ya mwanga na uvumba uliotiwa manukato+ na lile toleo la nafaka la daima+ na yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta,+ uangalizi wa maskani yote na vyote vilivyo ndani yake, yaani, mahali patakatifu na vyombo vyake.”

  • Hesabu 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha Musa akamvua Haruni mavazi yake na kumvika Eleazari mwana wake mavazi hayo, kisha Haruni akafa huko juu ya mlima huo.+ Naye Musa na Eleazari wakashuka kutoka mlimani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki