16 “Eleazari+ mwana wa kuhani Haruni ana jukumu la kusimamia mafuta kwa ajili ya taa,+ uvumba uliotiwa manukato,+ toleo la kawaida la nafaka, na mafuta yanayotumiwa kutia mafuta.+ Ndiye anayesimamia hema lote la ibada na vitu vyote vilivyomo, pamoja na mahali patakatifu na vyombo vyake.”