16 “Na uangalizi+ wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani utakuwa juu ya mafuta+ ya mwanga na uvumba uliotiwa manukato+ na lile toleo la nafaka la daima+ na yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta,+ uangalizi wa maskani yote na vyote vilivyo ndani yake, yaani, mahali patakatifu na vyombo vyake.”