Kutoka 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nawe utachukua mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na kuyamimina+ juu ya kichwa chake na kumtia mafuta.+ Kutoka 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Wewe nawe, jichukulie manukato bora zaidi:+ vipimo 500 vya matone ya manemane+ iliyoganda, na mdalasini+ wenye harufu tamu nusu ya kiasi hicho, vipimo 250, na kane+ yenye harufu tamu, vipimo 250, Mambo ya Walawi 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwishowe akamimina sehemu ya mafuta hayo ya kutia mafuta juu ya kichwa cha Haruni na kumtia mafuta ili kumtakasa.+ Zaburi 133:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ni kama mafuta mazuri juu ya kichwa,+Yanayoshuka juu ya ndevu,Ndevu za Haruni,+Yanayoshuka kwenye ukosi wa mavazi yake.+
7 Nawe utachukua mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na kuyamimina+ juu ya kichwa chake na kumtia mafuta.+
23 “Wewe nawe, jichukulie manukato bora zaidi:+ vipimo 500 vya matone ya manemane+ iliyoganda, na mdalasini+ wenye harufu tamu nusu ya kiasi hicho, vipimo 250, na kane+ yenye harufu tamu, vipimo 250,
12 Mwishowe akamimina sehemu ya mafuta hayo ya kutia mafuta juu ya kichwa cha Haruni na kumtia mafuta ili kumtakasa.+
2 Ni kama mafuta mazuri juu ya kichwa,+Yanayoshuka juu ya ndevu,Ndevu za Haruni,+Yanayoshuka kwenye ukosi wa mavazi yake.+