Zaburi 45:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mavazi yako yote ni manemane na udi na kida;+Kutoka katika jumba kuu la mfalme la pembe,+ vinanda vimekufanya ushangilie. Wimbo wa Sulemani 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwangu mimi mpenzi wangu ni kama mfuko wa manemane;+ katikati ya maziwa+ yangu atalala usiku kucha. Wimbo wa Sulemani 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Ni nini hiki kinachokuja kutoka nyikani kama nguzo za moshi, kikiwa kimetiwa harufu ya manemane na ubani,+ pamoja na kila namna ya poda ya marashi ya mfanya-biashara?”+
8 Mavazi yako yote ni manemane na udi na kida;+Kutoka katika jumba kuu la mfalme la pembe,+ vinanda vimekufanya ushangilie.
13 Kwangu mimi mpenzi wangu ni kama mfuko wa manemane;+ katikati ya maziwa+ yangu atalala usiku kucha.
6 “Ni nini hiki kinachokuja kutoka nyikani kama nguzo za moshi, kikiwa kimetiwa harufu ya manemane na ubani,+ pamoja na kila namna ya poda ya marashi ya mfanya-biashara?”+