Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Wewe nawe, jichukulie manukato bora zaidi:+ vipimo 500 vya matone ya manemane+ iliyoganda, na mdalasini+ wenye harufu tamu nusu ya kiasi hicho, vipimo 250, na kane+ yenye harufu tamu, vipimo 250,

  • Esta 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Zamu ya kila mwanamke kijana ilipofika ya kuingia kwa Mfalme Ahasuero baada ya kufanyiwa kulingana na masharti ya wanawake kwa miezi kumi na miwili, maana hivyo ndivyo hatua kwa hatua siku za utaratibu wao wa kukandwa zilivyotimia, miezi sita kwa mafuta ya manemane+ na miezi sita kwa mafuta ya zeri+ pamoja na kukandwa kwa wanawake;

  • Zaburi 45:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mavazi yako yote ni manemane na udi na kida;+

      Kutoka katika jumba kuu la mfalme la pembe,+ vinanda vimekufanya ushangilie.

  • Wimbo wa Sulemani 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Mpaka mchana uvume upepo mtulivu+ na vivuli viwe vimekimbia, nitakwenda zangu kwenye mlima wa manemane na kwenye kilima cha ubani.”+

  • Wimbo wa Sulemani 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mashavu yake ni kama eneo dogo la bustani ya manukato,+ minara ya mimea yenye harufu tamu. Midomo yake ni mayungiyungi, inadondosha manemane ya majimaji.+

  • Yohana 19:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nikodemo pia, yule mtu aliyemjia usiku mara ya kwanza, akaja akileta msokoto wa manemane na udi, karibu ratili mia moja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki