-
2 Mambo ya Nyakati 16:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Kwa hiyo wakamzika katika kaburi lake lenye fahari+ alilokuwa amejichimbia katika Jiji la Daudi;+ nao wakamlaza katika kitanda kilichojazwa mafuta ya zeri+ na aina mbalimbali za marhamu+ iliyochanganywa katika marhamu ya aina ya pekee.+ Tena wakamfanyia mfukizo wa mazishi+ ulio mkubwa isivyo kawaida.
-
-
Yohana 7:50Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
50 Nikodemo, aliyekuwa amemwendea hapo kwanza, na aliyekuwa mmoja wao, akawaambia:
-