Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 16:1

Marejeo

  • +1Fa 15:27
  • +Yos 18:25; Ezr 2:26; Isa 10:29
  • +1Fa 15:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2012, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 8/15 10

2 Mambo ya Nyakati 16:2

Marejeo

  • +1Fa 7:51
  • +2Fa 16:8
  • +1Fa 15:18
  • +1Fa 20:1; 2Fa 8:7; 12:18
  • +Isa 7:8

2 Mambo ya Nyakati 16:3

Marejeo

  • +1Fa 15:27
  • +1Fa 15:19

2 Mambo ya Nyakati 16:4

Marejeo

  • +2Fa 15:29
  • +Mwa 14:14; Amu 18:29; 20:1
  • +2Sa 20:14
  • +1Fa 9:19
  • +Yos 19:32

2 Mambo ya Nyakati 16:5

Marejeo

  • +1Fa 15:21

2 Mambo ya Nyakati 16:6

Marejeo

  • +1Fa 15:22
  • +Yos 18:25; Ezr 2:26
  • +1Fa 15:17
  • +Yos 18:24; 1Nya 6:60; Isa 10:29; Zek 14:10
  • +Yos 18:26; Amu 20:1; 1Sa 7:5; Yer 40:6

2 Mambo ya Nyakati 16:7

Marejeo

  • +1Fa 16:1; 2Nya 19:2; 20:34
  • +Zb 146:3; Isa 31:1; Yer 17:5
  • +2Fa 18:5; Ebr 12:1

2 Mambo ya Nyakati 16:8

Marejeo

  • +2Nya 14:9
  • +2Nya 12:3
  • +2Nya 14:9
  • +2Nya 14:11; Zb 9:10; 37:40

2 Mambo ya Nyakati 16:9

Marejeo

  • +Ayu 34:21; Met 5:21; Yer 16:17; Ebr 4:13; 1Pe 3:12
  • +Zek 4:10
  • +1Fa 8:61
  • +1Sa 13:13
  • +1Fa 15:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 42-43

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/2002, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 10/15 14; cl 42-43

2 Mambo ya Nyakati 16:10

Marejeo

  • +2Nya 18:26; Mhu 8:4
  • +Zb 37:8; 141:5; Met 29:22; Gal 5:20
  • +Mhu 7:7

2 Mambo ya Nyakati 16:11

Marejeo

  • +1Fa 15:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2009, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 3/15 32

2 Mambo ya Nyakati 16:12

Marejeo

  • +Isa 38:1
  • +Kum 32:39; 2Fa 20:8; Zb 103:3
  • +Yer 17:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2012, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 8/15 10

2 Mambo ya Nyakati 16:13

Marejeo

  • +1Fa 15:24

2 Mambo ya Nyakati 16:14

Marejeo

  • +2Nya 32:33
  • +2Sa 5:7
  • +2Fa 20:13
  • +Lu 23:56; Yoh 12:7
  • +Mk 16:1; Yoh 19:40
  • +Yer 34:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 16:11Fa 15:27
2 Nya. 16:1Yos 18:25; Ezr 2:26; Isa 10:29
2 Nya. 16:11Fa 15:17
2 Nya. 16:21Fa 7:51
2 Nya. 16:22Fa 16:8
2 Nya. 16:21Fa 15:18
2 Nya. 16:21Fa 20:1; 2Fa 8:7; 12:18
2 Nya. 16:2Isa 7:8
2 Nya. 16:31Fa 15:27
2 Nya. 16:31Fa 15:19
2 Nya. 16:42Fa 15:29
2 Nya. 16:4Mwa 14:14; Amu 18:29; 20:1
2 Nya. 16:42Sa 20:14
2 Nya. 16:41Fa 9:19
2 Nya. 16:4Yos 19:32
2 Nya. 16:51Fa 15:21
2 Nya. 16:61Fa 15:22
2 Nya. 16:6Yos 18:25; Ezr 2:26
2 Nya. 16:61Fa 15:17
2 Nya. 16:6Yos 18:24; 1Nya 6:60; Isa 10:29; Zek 14:10
2 Nya. 16:6Yos 18:26; Amu 20:1; 1Sa 7:5; Yer 40:6
2 Nya. 16:71Fa 16:1; 2Nya 19:2; 20:34
2 Nya. 16:7Zb 146:3; Isa 31:1; Yer 17:5
2 Nya. 16:72Fa 18:5; Ebr 12:1
2 Nya. 16:82Nya 14:9
2 Nya. 16:82Nya 12:3
2 Nya. 16:82Nya 14:9
2 Nya. 16:82Nya 14:11; Zb 9:10; 37:40
2 Nya. 16:9Ayu 34:21; Met 5:21; Yer 16:17; Ebr 4:13; 1Pe 3:12
2 Nya. 16:9Zek 4:10
2 Nya. 16:91Fa 8:61
2 Nya. 16:91Sa 13:13
2 Nya. 16:91Fa 15:32
2 Nya. 16:102Nya 18:26; Mhu 8:4
2 Nya. 16:10Zb 37:8; 141:5; Met 29:22; Gal 5:20
2 Nya. 16:10Mhu 7:7
2 Nya. 16:111Fa 15:23
2 Nya. 16:12Isa 38:1
2 Nya. 16:12Kum 32:39; 2Fa 20:8; Zb 103:3
2 Nya. 16:12Yer 17:5
2 Nya. 16:131Fa 15:24
2 Nya. 16:142Nya 32:33
2 Nya. 16:142Sa 5:7
2 Nya. 16:142Fa 20:13
2 Nya. 16:14Lu 23:56; Yoh 12:7
2 Nya. 16:14Mk 16:1; Yoh 19:40
2 Nya. 16:14Yer 34:5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 16:1-14

2 Mambo ya Nyakati

16 Katika mwaka wa 36 wa utawala wa Asa, Baasha+ mfalme wa Israeli alikuja kupigana na Yuda na kuanza kujenga Rama,+ ili asimruhusu mtu yeyote kutoka nje wala kuingia ndani kwa Asa mfalme wa Yuda.+ 2 Sasa Asa akatoa fedha na dhahabu katika hazina za nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme,+ akazipeleka kwa Ben-hadadi+ mfalme wa Siria,+ aliyekuwa akikaa Damasko,+ akisema: 3 “Kuna agano kati yangu na wewe na kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, ninakuletea fedha na dhahabu. Nenda, vunja agano lako na Baasha+ mfalme wa Israeli, ili aondoke kwangu.”+

4 Basi Ben-hadadi akamsikiliza Mfalme Asa, akatuma wakuu wake wa majeshi kushambulia majiji ya Israeli, hivi kwamba wakapiga Iyoni+ na Dani+ na Abel-maimu+ na mahali pote penye maghala+ pa majiji ya Naftali.+ 5 Na ikawa kwamba mara tu Baasha aliposikia habari hizo, mara moja akaacha kujenga Rama na kuikomesha kazi yake.+ 6 Naye Asa mfalme akawachukua Yuda wote,+ nao wakachukua mawe ya Rama+ na miti yake ambayo Baasha alitumia kujenga,+ naye kwa vitu hivyo akaanza kujenga Geba+ na Mispa.+

7 Na wakati huo Hanani+ mwonaji akamjia Asa mfalme wa Yuda, kisha akamwambia: “Kwa sababu ulimwegemea mfalme wa Siria+ wala hukumwegemea Yehova Mungu wako,+ kwa sababu hiyo jeshi la mfalme wa Siria limeponyoka kutoka mkononi mwako. 8 Je, Waethiopia+ na Walibya+ hawakuwa jeshi kubwa sana kwa wingi, kwa magari na kwa wapanda-farasi;+ na kwa sababu ulimwegemea Yehova, je, hakuwatia mkononi mwako?+ 9 Kwa maana, kwa habari ya Yehova, macho+ yake yanaenda huku na huku duniani+ kote ili aonyeshe nguvu zake kwa ajili ya wale ambao moyo+ wao ni mkamilifu kumwelekea yeye. Umetenda kwa upumbavu+ kwa habari hii, kwa maana tangu sasa na kuendelea kutakuwa na vita juu yako.”+

10 Hata hivyo, Asa akaudhika kwa sababu ya yule mwonaji, akamtia katika nyumba ya mikatale,+ kwa sababu alimwonea ghadhabu juu ya jambo hilo.+ Na Asa akaanza kuwakandamiza+ baadhi ya watu wakati huohuo. 11 Na, tazama! mambo ya Asa, ya kwanza na ya mwisho, yameandikwa katika Kitabu+ cha Wafalme wa Yuda na wa Israeli.

12 Na Asa, katika mwaka wa 39 wa utawala wake, akapata ugonjwa katika miguu yake mpaka akawa mgonjwa sana;+ na hata katika ugonjwa wake hakumtafuta Yehova+ bali waponyaji.+ 13 Mwishowe Asa akalala pamoja na mababu zake,+ akafa katika mwaka wa 41 wa utawala wake. 14 Kwa hiyo wakamzika katika kaburi lake lenye fahari+ alilokuwa amejichimbia katika Jiji la Daudi;+ nao wakamlaza katika kitanda kilichojazwa mafuta ya zeri+ na aina mbalimbali za marhamu+ iliyochanganywa katika marhamu ya aina ya pekee.+ Tena wakamfanyia mfukizo wa mazishi+ ulio mkubwa isivyo kawaida.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki