2 Mambo ya Nyakati 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nanyi mseme, ‘Mfalme amesema hivi: “Mtieni mtu huyu katika kizuizi,+ mkamlishe kwa posho iliyopunguzwa ya mkate+ na maji yaliyopunguzwa mpaka nitakaporudi kwa amani.”’”+ Mhubiri 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’”
26 Nanyi mseme, ‘Mfalme amesema hivi: “Mtieni mtu huyu katika kizuizi,+ mkamlishe kwa posho iliyopunguzwa ya mkate+ na maji yaliyopunguzwa mpaka nitakaporudi kwa amani.”’”+
4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’”