Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Tena Farao akamwambia Yosefu: “Mimi ni Farao, lakini bila ruhusa yako mtu yeyote asiinue mkono wake wala mguu wake katika nchi yote ya Misri.”+

  • 1 Wafalme 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mara moja Mfalme Sulemani akamtuma Benaya+ mwana wa Yehoyada; akamshambulia, naye akafa.+

  • Ezra 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na kila mtu ambaye hatatenda sheria ya Mungu wako+ na sheria ya mfalme, na ahukumiwe mara moja, iwe ni kifo+ au ni kufukuzwa,+ au kutozwa pesa+ au kifungo.”

  • Danieli 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi sasa ikiwa mko tayari ili mnaposikia sauti ya baragumu, zumari, zeze, kinubi chenye pembe tatu, kinanda, zumari-tete na aina zote za vyombo vya muziki,+ mwanguke chini na kuiabudu sanamu ambayo nimeitengeneza, ni vema. Lakini msipoabudu, mtatupwa wakati huohuo ndani ya tanuru inayowaka moto. Na ni mungu gani huyo anayeweza kuwaokoa ninyi kutoka mikononi mwangu?”+

  • Waroma 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kila nafsi na ijitiishe+ kwa mamlaka zilizo kubwa,+ kwa maana hakuna mamlaka+ isipokuwa kwa njia ya Mungu;+ mamlaka zilizopo zimesimamishwa na Mungu+ katika vyeo vyao vya kadiri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki