Mathayo 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wakasema: “Ni za Kaisari.” Ndipo akawaambia: “Basi, mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari, lakini Mungu vitu vya Mungu.”+ Matendo 5:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Petro na wale mitume wengine wakajibu wakasema: “Lazima tumtii Mungu kuwa mtawala kuliko wanadamu.+ 1 Wakorintho 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini nataka mjue kwamba kichwa cha kila mwanamume ni Kristo;+ nacho kichwa cha mwanamke ni mwanamume;+ nacho kichwa cha Kristo ni Mungu.+
21 Wakasema: “Ni za Kaisari.” Ndipo akawaambia: “Basi, mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari, lakini Mungu vitu vya Mungu.”+
29 Petro na wale mitume wengine wakajibu wakasema: “Lazima tumtii Mungu kuwa mtawala kuliko wanadamu.+
3 Lakini nataka mjue kwamba kichwa cha kila mwanamume ni Kristo;+ nacho kichwa cha mwanamke ni mwanamume;+ nacho kichwa cha Kristo ni Mungu.+