27 Kwa maana Mungu “alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini anaposema kwamba ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba iko hivyo isipokuwa kwa yule aliyevitiisha vitu vyote kwake.+
28 Lakini vitu vyote vitakapokuwa vimetiishwa kwake,+ ndipo Mwana mwenyewe atakapojitiisha pia kwa Yeye+ aliyevitiisha vitu vyote kwake, ili Mungu awe vitu vyote kwa kila mtu.+