Waroma 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana kwa kusudi hili Kristo alikufa na kuwa hai tena,+ ili awe Bwana juu ya waliokufa+ na walio hai+ pia. Waefeso 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini tukisema kweli,+ na tukue kwa upendo+ katika mambo yote ndani yake yeye aliye kichwa,+ Kristo. Wakolosai 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kwa hiyo ninyi mna ujazo kwa njia yake, ambaye ni kichwa cha serikali yote na mamlaka.+
9 Kwa maana kwa kusudi hili Kristo alikufa na kuwa hai tena,+ ili awe Bwana juu ya waliokufa+ na walio hai+ pia.
15 Lakini tukisema kweli,+ na tukue kwa upendo+ katika mambo yote ndani yake yeye aliye kichwa,+ Kristo.