Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa sana na matoleo ya kuteketezwa+ na dhabihu kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii+ ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo-dume;

  • Danieli 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini kama sivyo, ujue hivi, Ee mfalme, kwamba sisi hatuitumikii miungu yako, na sanamu ambayo umeisimamisha hatutaiabudu.”+

  • Yohana 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Ikiwa mnanipenda, mtazishika amri zangu;+

  • Matendo 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini Petro na Yohana wakajibu wakawaambia: “Kama ni jambo la uadilifu mbele za macho ya Mungu kuwasikiliza ninyi badala ya Mungu, hukumuni ninyi wenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki