23 Lakini niliwaamuru neno hili, nikisema: “Tiini sauti yangu,+ nami nitakuwa Mungu wenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu; na mtembee katika njia+ yote ambayo nitawaamuru ninyi, ili iwe vema kwenu.”’+
20 Lakini Yeremia akasema: “Hawatakutia mkononi mwao. Tafadhali, itii sauti ya Yehova kwa habari ya mambo ninayokuambia, na itakuwa vema kwako,+ na nafsi yako itaendelea kuishi.