Yohana 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda ninyi,+ ninyi nanyi mpendane vivyo hivyo.+ Yohana 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mkishika amri zangu,+ mtakaa katika upendo wangu, kama vile mimi nilivyoshika amri za Baba+ na kukaa katika upendo wake. Yakobo 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo yasiyo ya kweli.+ 1 Yohana 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+
34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda ninyi,+ ninyi nanyi mpendane vivyo hivyo.+
10 Mkishika amri zangu,+ mtakaa katika upendo wangu, kama vile mimi nilivyoshika amri za Baba+ na kukaa katika upendo wake.
22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo yasiyo ya kweli.+
3 Kwa maana kumpenda+ Mungu humaanisha hivi, kwamba tuzishike amri zake;+ na bado amri zake si mzigo mzito,+