Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Yohana 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hii ndiyo amri yangu, kwamba mpendane kama vile nilivyowapenda ninyi.+ 1 Wathesalonike 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, kuhusu upendo wa kindugu,+ hamhitaji sisi tuwe tukiwaandikia ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu+ kupendana;+ Yakobo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi, mkizoea kufanya sheria ya kifalme+ kulingana na andiko: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ mnafanya vema kabisa. 1 Petro 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Sasa kwa kuwa mmezitakasa+ nafsi zenu kwa kuwa watiifu kwa ile kweli tokeo likiwa ni upendo wa kindugu usio na unafiki,+ pendaneni sana kutoka moyoni.+ 1 Yohana 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sisi tunajua tumevuka kutoka kifo mpaka uzima,+ kwa sababu tunawapenda akina ndugu.+ Yeye ambaye hapendi hukaa katika kifo.+
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
9 Hata hivyo, kuhusu upendo wa kindugu,+ hamhitaji sisi tuwe tukiwaandikia ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu+ kupendana;+
8 Basi, mkizoea kufanya sheria ya kifalme+ kulingana na andiko: “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ mnafanya vema kabisa.
22 Sasa kwa kuwa mmezitakasa+ nafsi zenu kwa kuwa watiifu kwa ile kweli tokeo likiwa ni upendo wa kindugu usio na unafiki,+ pendaneni sana kutoka moyoni.+
14 Sisi tunajua tumevuka kutoka kifo mpaka uzima,+ kwa sababu tunawapenda akina ndugu.+ Yeye ambaye hapendi hukaa katika kifo.+