3Oneni namna ya upendo+ ambao Baba ametupa sisi, ili tuitwe watoto wa Mungu;+ na sisi ndivyo tulivyo. Ndiyo sababu ulimwengu+ hautujui sisi, kwa sababu haumjui yeye.+
17 Lakini yeyote aliye na riziki ya ulimwengu huu+ naye amwone ndugu yake akiwa na uhitaji+ na bado amfungie mlango wa huruma zake nyororo,+ ni katika njia gani kumpenda Mungu hukaa ndani yake?+