Yohana 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda ninyi,+ ninyi nanyi mpendane vivyo hivyo.+ Yohana 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Ikiwa mnanipenda, mtazishika amri zangu;+ 1 Yohana 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini yeyote anayeshika neno+ lake, kwa kweli katika mtu huyo upendo kwa Mungu umekamilishwa.+ Kwa hili tunajua kwamba sisi tumo katika muungano na yeye.+
34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda ninyi,+ ninyi nanyi mpendane vivyo hivyo.+
5 Lakini yeyote anayeshika neno+ lake, kwa kweli katika mtu huyo upendo kwa Mungu umekamilishwa.+ Kwa hili tunajua kwamba sisi tumo katika muungano na yeye.+