Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini kama sivyo, ujue hivi, Ee mfalme, kwamba sisi hatuitumikii miungu yako, na sanamu ambayo umeisimamisha hatutaiabudu.”+

  • Malaki 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Je, mtu wa udongo atamnyang’anya Mungu? Lakini ninyi mnaninyang’anya mimi.”

      Nanyi mmesema: “Tumekunyang’anya kwa njia gani?”

      “Katika sehemu za kumi na katika michango.

  • Marko 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo Yesu akasema: “Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari,+ lakini Mungu vitu vya Mungu.”+ Nao wakaanza kumstaajabia.+

  • Luka 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Akawaambia: “Kwa vyovyote, basi, mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari,+ lakini mlipeni Mungu vitu vya Mungu.”+

  • Luka 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo wakaanza kumshtaki,+ wakisema: “Tulimkuta mtu huyu akipindua+ taifa letu na kuwakataza watu wasimlipe Kaisari kodi+ na kusema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo mfalme.”+

  • Waroma 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wapeni wote haki zao, yeye anayetaka kodi, kodi;+ yeye anayetaka ushuru, ushuru; yeye anayetaka woga, woga+ huo; yeye anayetaka heshima, heshima+ hiyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki