Methali 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kama rungu ya vita na upanga na mshale mkali ndivyo alivyo mtu anayemshuhudia mwenzake kwa uwongo.+ Marko 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Yesu akasema: “Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari,+ lakini Mungu vitu vya Mungu.”+ Nao wakaanza kumstaajabia.+
18 Kama rungu ya vita na upanga na mshale mkali ndivyo alivyo mtu anayemshuhudia mwenzake kwa uwongo.+
17 Ndipo Yesu akasema: “Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari,+ lakini Mungu vitu vya Mungu.”+ Nao wakaanza kumstaajabia.+