Kutoka 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+ Zaburi 52:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+ Zaburi 57:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+ Zaburi 120:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtu atakupa nini, na mtu atakuongezea nini,Ewe ulimi wenye ujanja?+ Zaburi 140:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wameunoa ulimi wao kama ule wa nyoka;+Sumu ya kipiri-pembe iko chini ya midomo yao.+ Sela. Yeremia 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 nao wanapinda ulimi wao uwe upinde wao katika uwongo;+ lakini katika uaminifu hawajaonyesha kuwa ni wenye nguvu katika nchi. “Kwa maana walienda kutoka ubaya mpaka ubaya, nao walinipuuza hata mimi,”+ asema Yehova. Yakobo 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*
2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+
4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+
3 nao wanapinda ulimi wao uwe upinde wao katika uwongo;+ lakini katika uaminifu hawajaonyesha kuwa ni wenye nguvu katika nchi. “Kwa maana walienda kutoka ubaya mpaka ubaya, nao walinipuuza hata mimi,”+ asema Yehova.
6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*