Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+

  • Zaburi 52:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+

      Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+

  • Zaburi 57:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+

      Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,

      Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+

      Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+

  • Zaburi 120:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mtu atakupa nini, na mtu atakuongezea nini,

      Ewe ulimi wenye ujanja?+

  • Zaburi 140:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Wameunoa ulimi wao kama ule wa nyoka;+

      Sumu ya kipiri-pembe iko chini ya midomo yao.+ Sela.

  • Yeremia 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 nao wanapinda ulimi wao uwe upinde wao katika uwongo;+ lakini katika uaminifu hawajaonyesha kuwa ni wenye nguvu katika nchi.

      “Kwa maana walienda kutoka ubaya mpaka ubaya, nao walinipuuza hata mimi,”+ asema Yehova.

  • Yakobo 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki