Zaburi 64:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ambao wamenoa ulimi wao kama upanga,+Ambao wameulenga mshale wao, maneno machungu.+ Isaya 59:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana mikono yenu imetiwa unajisi kwa damu,+ na vidole vyenu kwa kosa. Midomo yenu imesema uwongo.+ Ulimi wenu uliendelea kunong’ona ukosefu wa uadilifu.+ Waroma 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Koo yao ni kaburi lililo wazi, wamedanganya kwa ndimi zao.”+ “Sumu ya nyoka iko nyuma ya midomo yao.”+
3 Kwa maana mikono yenu imetiwa unajisi kwa damu,+ na vidole vyenu kwa kosa. Midomo yenu imesema uwongo.+ Ulimi wenu uliendelea kunong’ona ukosefu wa uadilifu.+
13 “Koo yao ni kaburi lililo wazi, wamedanganya kwa ndimi zao.”+ “Sumu ya nyoka iko nyuma ya midomo yao.”+