Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 64:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ambao wamenoa ulimi wao kama upanga,+

      Ambao wameulenga mshale wao, maneno machungu.+

  • Isaya 59:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana mikono yenu imetiwa unajisi kwa damu,+ na vidole vyenu kwa kosa. Midomo yenu imesema uwongo.+ Ulimi wenu uliendelea kunong’ona ukosefu wa uadilifu.+

  • Waroma 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Koo yao ni kaburi lililo wazi, wamedanganya kwa ndimi zao.”+ “Sumu ya nyoka iko nyuma ya midomo yao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki