Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 58:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Sumu yao ni kama sumu ya nyoka,+

      Viziwi kama swila anayeziba sikio lake,+

  • Zaburi 140:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Wameunoa ulimi wao kama ule wa nyoka;+

      Sumu ya kipiri-pembe iko chini ya midomo yao.+ Sela.

  • Mathayo 12:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+

  • Yakobo 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki