Zaburi 58:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sumu yao ni kama sumu ya nyoka,+Viziwi kama swila anayeziba sikio lake,+ Zaburi 140:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wameunoa ulimi wao kama ule wa nyoka;+Sumu ya kipiri-pembe iko chini ya midomo yao.+ Sela. Mathayo 12:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+ Yakobo 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+
34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+
8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+