7 Alipoona wengi wa Mafarisayo na Masadukayo+ wakija kwenye ubatizo, akawaambia: “Ninyi uzao wa nyoka-vipiri,+ ni nani ambaye amewaonyesha ninyi kuikimbia ghadhabu+ inayokuja?
7 Kwa hiyo akaanza kuuambia umati wa watu waliokuwa wakija awabatize: “Ninyi uzao wa nyoka-vipiri,+ ni nani ambaye amewaonyesha ninyi kuikimbia ghadhabu inayokuja?+