Mathayo 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alipoona wengi wa Mafarisayo na Masadukayo+ wakija kwenye ubatizo, akawaambia: “Ninyi uzao wa nyoka-vipiri,+ ni nani ambaye amewaonyesha ninyi kuikimbia ghadhabu+ inayokuja? Mathayo 23:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Nyoka, uzao wa nyoka-vipiri,+ mtaikimbiaje hukumu ya Gehena?*+
7 Alipoona wengi wa Mafarisayo na Masadukayo+ wakija kwenye ubatizo, akawaambia: “Ninyi uzao wa nyoka-vipiri,+ ni nani ambaye amewaonyesha ninyi kuikimbia ghadhabu+ inayokuja?