Marko 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa Masadukayo wakamjia, wale ambao husema hakuna ufufuo, nao wakamuuliza:+ Luka 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)
30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi mwingi wa Sheria walilipuuza shauri+ la Mungu kwao, kwa kuwa hakuwa amewabatiza.)