Mathayo 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Siku hiyo Masadukayo, wale ambao husema hakuna ufufuo, wakamjia na kumuuliza:+ Luka 20:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Hata hivyo, baadhi ya Masadukayo, wale ambao husema hakuna ufufuo, wakaja+ na kumuuliza swali, Matendo 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Masadukayo+ husema hakuna ufufuo+ wala malaika wala roho, lakini Mafarisayo huyatangaza yote hadharani.
8 Kwa maana Masadukayo+ husema hakuna ufufuo+ wala malaika wala roho, lakini Mafarisayo huyatangaza yote hadharani.