Mathayo 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Siku hiyo Masadukayo, wale ambao husema hakuna ufufuo, wakamjia na kumuuliza:+ Marko 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa Masadukayo wakamjia, wale ambao husema hakuna ufufuo, nao wakamuuliza:+ Matendo 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Masadukayo+ husema hakuna ufufuo+ wala malaika wala roho, lakini Mafarisayo huyatangaza yote hadharani.
8 Kwa maana Masadukayo+ husema hakuna ufufuo+ wala malaika wala roho, lakini Mafarisayo huyatangaza yote hadharani.