Marko 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa Masadukayo wakamjia, wale ambao husema hakuna ufufuo, nao wakamuuliza:+ Luka 20:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Hata hivyo, baadhi ya Masadukayo, wale ambao husema hakuna ufufuo, wakaja+ na kumuuliza swali, Matendo 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wakiwa wameudhika kwa sababu walikuwa wakiwafundisha watu na walikuwa wakiutangaza waziwazi ufufuo kutoka kwa wafu kwa kisa cha Yesu;+ Matendo 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Masadukayo+ husema hakuna ufufuo+ wala malaika wala roho, lakini Mafarisayo huyatangaza yote hadharani.
2 wakiwa wameudhika kwa sababu walikuwa wakiwafundisha watu na walikuwa wakiutangaza waziwazi ufufuo kutoka kwa wafu kwa kisa cha Yesu;+
8 Kwa maana Masadukayo+ husema hakuna ufufuo+ wala malaika wala roho, lakini Mafarisayo huyatangaza yote hadharani.