Zaburi 52:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+ Zaburi 58:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sumu yao ni kama sumu ya nyoka,+Viziwi kama swila anayeziba sikio lake,+
2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+