Zaburi 109:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+ 2 Wakorintho 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana watu wa namna hiyo ni mitume wa uwongo, wafanyakazi wadanganyifu,+ wakijigeuza wenyewe kuwa mitume wa Kristo.+
2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+
13 Kwa maana watu wa namna hiyo ni mitume wa uwongo, wafanyakazi wadanganyifu,+ wakijigeuza wenyewe kuwa mitume wa Kristo.+