Methali 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+ Methali 26:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ulimi wa uwongo humchukia mtu aliyepondwa nao,+ na kinywa chenye kubembeleza husababisha mapinduzi.+ Yeremia 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 nao wanapinda ulimi wao uwe upinde wao katika uwongo;+ lakini katika uaminifu hawajaonyesha kuwa ni wenye nguvu katika nchi. “Kwa maana walienda kutoka ubaya mpaka ubaya, nao walinipuuza hata mimi,”+ asema Yehova.
28 Ulimi wa uwongo humchukia mtu aliyepondwa nao,+ na kinywa chenye kubembeleza husababisha mapinduzi.+
3 nao wanapinda ulimi wao uwe upinde wao katika uwongo;+ lakini katika uaminifu hawajaonyesha kuwa ni wenye nguvu katika nchi. “Kwa maana walienda kutoka ubaya mpaka ubaya, nao walinipuuza hata mimi,”+ asema Yehova.