Zaburi 50:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Umefungua kinywa chako kutoa lililo baya,+Na ulimi wako unaushikamanisha na udanganyifu.+ Zaburi 57:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+ Zaburi 59:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tazama! Wanaropoka kwa kinywa chao;+Panga ziko midomoni mwao,+Kwa maana ni nani anayesikiliza?+ Zaburi 64:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ambao wamenoa ulimi wao kama upanga,+Ambao wameulenga mshale wao, maneno machungu.+
4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+