Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Umefungua kinywa chako kutoa lililo baya,+

      Na ulimi wako unaushikamanisha na udanganyifu.+

  • Zaburi 57:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+

      Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,

      Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+

      Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+

  • Zaburi 59:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Tazama! Wanaropoka kwa kinywa chao;+

      Panga ziko midomoni mwao,+

      Kwa maana ni nani anayesikiliza?+

  • Zaburi 64:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ambao wamenoa ulimi wao kama upanga,+

      Ambao wameulenga mshale wao, maneno machungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki