Zaburi 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye amesema katika moyo wake:+ “Mungu amesahau.+Ameuficha uso wake.+Hakika hatauona kamwe.”+ Zaburi 73:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wamesema: “Mungu amepataje kujua?+Na je, Aliye Juu Zaidi ana ujuzi?”+ Ezekieli 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo akaniambia: “Kosa la nyumba ya Israeli na Yuda+ ni kubwa, kubwa sana,+ na nchi imejaa umwagaji wa damu+ nalo jiji limejaa upotovu;+ kwa maana wamesema, ‘Yehova ameiacha nchi hii,+ na Yehova haoni.’+
9 Kwa hiyo akaniambia: “Kosa la nyumba ya Israeli na Yuda+ ni kubwa, kubwa sana,+ na nchi imejaa umwagaji wa damu+ nalo jiji limejaa upotovu;+ kwa maana wamesema, ‘Yehova ameiacha nchi hii,+ na Yehova haoni.’+