Zaburi 64:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wanashikilia maneno mabaya;+Wanasema juu ya kuficha mitego.+Wamesema: “Ni nani anayewaona?”+ Mhubiri 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+
11 Kwa maana hukumu juu ya kazi mbaya haikutekelezwa upesi,+ ndiyo sababu moyo wa wana wa binadamu umeazimia kabisa ndani yao kutenda yaliyo mabaya.+