Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+

  • 1 Samweli 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye alikuwa akiwaambia:+ “Kwa nini mnazidi kufanya mambo kama haya?+ Kwa maana mambo ninayoyasikia kuhusu ninyi kutoka kwa watu wote ni mabaya.+

  • Zaburi 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Amesema katika moyo wake: “Sitatikiswa;+

      Kizazi baada ya kizazi sitakuwa katika msiba.”+

  • Isaya 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+

  • Mathayo 24:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 “Lakini mtumwa huyo mwovu akisema moyoni mwake,+ ‘Bwana wangu anakawia,’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki