Kutoka 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+ 1 Samweli 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye alikuwa akiwaambia:+ “Kwa nini mnazidi kufanya mambo kama haya?+ Kwa maana mambo ninayoyasikia kuhusu ninyi kutoka kwa watu wote ni mabaya.+ Zaburi 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Amesema katika moyo wake: “Sitatikiswa;+Kizazi baada ya kizazi sitakuwa katika msiba.”+ Isaya 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+ Mathayo 24:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 “Lakini mtumwa huyo mwovu akisema moyoni mwake,+ ‘Bwana wangu anakawia,’+
15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+
23 Naye alikuwa akiwaambia:+ “Kwa nini mnazidi kufanya mambo kama haya?+ Kwa maana mambo ninayoyasikia kuhusu ninyi kutoka kwa watu wote ni mabaya.+
10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+