Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 13:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sheria ya mwenye hekima ni chemchemi ya uzima,+ ili kumwepusha mtu na mitego ya kifo.+

  • Isaya 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Sura ya nyuso zao kwa kweli hushuhudia dhidi yao,+ nazo zinaeleza kuhusu dhambi yao kama ile ya Sodoma.+ Hawajaificha. Ole wa nafsi yao! Kwa maana wamejiletea wenyewe msiba.+

  • Yeremia 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, waliona aibu kwa sababu walikuwa wamefanya chukizo?+ Jambo moja ni kwamba hakika hawakuweza kuona aibu; jambo lingine ni kwamba hawakujua namna ya kufedheheka.+

      “‘Kwa hiyo wataanguka katikati ya wale wanaoanguka. Katika wakati wa kuwakazia fikira,+ watajikwaa,’ Yehova amesema.+

  • Wafilipi 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 na mwisho wao ni uharibifu,+ na mungu wao ni tumbo lao,+ na utukufu wao uko katika aibu+ yao, nao wamekaza akili zao juu ya vitu vilivyo duniani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki