Yeremia 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo manyunyu mengi yamezuiwa,+ na hata mvua ya masika haikunyesha.+ Nawe umekuwa na paji la uso la mke anayefanya ukahaba. Umekataa kufedheheka.+ Wafilipi 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 na mwisho wao ni uharibifu,+ na mungu wao ni tumbo lao,+ na utukufu wao uko katika aibu+ yao, nao wamekaza akili zao juu ya vitu vilivyo duniani.+
3 Kwa hiyo manyunyu mengi yamezuiwa,+ na hata mvua ya masika haikunyesha.+ Nawe umekuwa na paji la uso la mke anayefanya ukahaba. Umekataa kufedheheka.+
19 na mwisho wao ni uharibifu,+ na mungu wao ni tumbo lao,+ na utukufu wao uko katika aibu+ yao, nao wamekaza akili zao juu ya vitu vilivyo duniani.+