Waroma 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wale wanaopatana na mwili hukaza akili zao juu ya mambo ya mwili,+ lakini wale wanaopatana na roho juu ya mambo ya roho.+ 1 Wakorintho 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 kwa maana bado ninyi ni wa kimwili.+ Kwa kuwa kuna wivu na mizozo kati yenu,+ je, ninyi si wa kimwili na je, hamtembei kama wanadamu wanavyotembea?+ 2 Timotheo 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 wasaliti,+ wenye vichwa vigumu, wenye kujivuna kwa kiburi,+ wanaopenda raha badala ya kumpenda Mungu+ Yakobo 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hii siyo hekima inayoshuka kutoka juu,+ bali ni ya kidunia,+ ya kinyama, ya roho waovu.+
5 Kwa maana wale wanaopatana na mwili hukaza akili zao juu ya mambo ya mwili,+ lakini wale wanaopatana na roho juu ya mambo ya roho.+
3 kwa maana bado ninyi ni wa kimwili.+ Kwa kuwa kuna wivu na mizozo kati yenu,+ je, ninyi si wa kimwili na je, hamtembei kama wanadamu wanavyotembea?+
4 wasaliti,+ wenye vichwa vigumu, wenye kujivuna kwa kiburi,+ wanaopenda raha badala ya kumpenda Mungu+